101

Al-Qaari'a

سورة القارعة

The Calamity11节经文 麦加章

Translated by Ali Muhsin Al-Barwani

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

1

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ الْقَارِعَةُ

Inayo gonga!

2

مَا الْقَارِعَةُ

Nini Inayo gonga?

3

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ

Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

4

يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

5

وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنْفُوشِ

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

6

فَأَمَّا مَنْ ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

7

فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَاضِيَةٍ

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

8

وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُ

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

9

فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌ

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

10

وَمَا أَدْرَاكَ مَا هِيَهْ

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

11

نَارٌ حَامِيَةٌ

Ni Moto mkali!