بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ
Naapa kwa tini na zaituni!
سورة التين
The Fig • 8 ayet • Mekki
Translated by Ali Muhsin Al-Barwani
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ
Naapa kwa tini na zaituni!
وَطُورِ سِينِينَ
Na kwa Mlima wa Sinai!
وَهَٰذَا الْبَلَدِ الْأَمِينِ
Na kwa mji huu wenye amani!
لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنْسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
ثُمَّ رَدَدْنَاهُ أَسْفَلَ سَافِلِينَ
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?