بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَالضُّحَىٰ
Naapa kwa mchana!
سورة الضحى
The Morning Hours • 11 ayet • Mekki
Translated by Ali Muhsin Al-Barwani
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَالضُّحَىٰ
Naapa kwa mchana!
وَاللَّيْلِ إِذَا سَجَىٰ
Na kwa usiku unapo tanda!
مَا وَدَّعَكَ رَبُّكَ وَمَا قَلَىٰ
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
وَلَلْآخِرَةُ خَيْرٌ لَكَ مِنَ الْأُولَىٰ
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضَىٰ
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
وَوَجَدَكَ ضَالًّا فَهَدَىٰ
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
وَوَجَدَكَ عَائِلًا فَأَغْنَىٰ
Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
فَأَمَّا الْيَتِيمَ فَلَا تَقْهَرْ
Basi yatima usimwonee!
وَأَمَّا السَّائِلَ فَلَا تَنْهَرْ
Na anaye omba au kuuliza usimkaripie!
وَأَمَّا بِنِعْمَةِ رَبِّكَ فَحَدِّثْ
Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.