1
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَيْلٌ لِكُلِّ هُمَزَةٍ لُمَزَةٍ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
سورة الهمزة
The Traducer • 9 ayet • Mekki
Translated by Ali Muhsin Al-Barwani
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَيْلٌ لِكُلِّ هُمَزَةٍ لُمَزَةٍ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّا ۖ لَيُنْبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
الَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى الْأَفْئِدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيْهِمْ مُؤْصَدَةٌ
Hakika huo utafungiwa nao
فِي عَمَدٍ مُمَدَّدَةٍ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.