1
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Коран
سورة المسدThe Palm Fibre • 5 аятов • МекканскаяTranslated by Ali Muhsin Al-Barwani
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ
Atauingia Moto wenye mwako.
وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
فِي جِيدِهَا حَبْلٌ مِنْ مَسَدٍ
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.