104

Al-Humaza

سورة الهمزة

The Traducer9 аятов Мекканская

Translated by Ali Muhsin Al-Barwani

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

1

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَيْلٌ لِكُلِّ هُمَزَةٍ لُمَزَةٍ

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

2

الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ

Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

3

يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

4

كَلَّا ۖ لَيُنْبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ

Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

5

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ

Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?

6

نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.

7

الَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى الْأَفْئِدَةِ

Ambao unapanda nyoyoni.

8

إِنَّهَا عَلَيْهِمْ مُؤْصَدَةٌ

Hakika huo utafungiwa nao

9

فِي عَمَدٍ مُمَدَّدَةٍ

Kwenye nguzo zilio nyooshwa.