گنجینه اسلامی
90

Al-Balad

سورة البلد

The City20 آیه مکی

Translated by Ali Muhsin Al-Barwani

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

1

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ لَا أُقْسِمُ بِهَٰذَا الْبَلَدِ

Naapa kwa Mji huu!

2

وَأَنْتَ حِلٌّ بِهَٰذَا الْبَلَدِ

Nawe unaukaa Mji huu.

3

وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ

Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.

4

لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنْسَانَ فِي كَبَدٍ

Hakika tumemuumba mtu katika taabu.

5

أَيَحْسَبُ أَنْ لَنْ يَقْدِرَ عَلَيْهِ أَحَدٌ

Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?

6

يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُبَدًا

Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.

7

أَيَحْسَبُ أَنْ لَمْ يَرَهُ أَحَدٌ

Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?

8

أَلَمْ نَجْعَلْ لَهُ عَيْنَيْنِ

Kwani hatukumpa macho mawili?

9

وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ

Na ulimi, na midomo miwili?

10

وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ

Na tukambainishia zote njia mbili?

11

فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ

Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

12

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ

Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

13

فَكُّ رَقَبَةٍ

Kumkomboa mtumwa;

14

أَوْ إِطْعَامٌ فِي يَوْمٍ ذِي مَسْغَبَةٍ

Au kumlisha siku ya njaa

15

يَتِيمًا ذَا مَقْرَبَةٍ

Yatima aliye jamaa,

16

أَوْ مِسْكِينًا ذَا مَتْرَبَةٍ

Au masikini aliye vumbini.

17

ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ

Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.

18

أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ

Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.

19

وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِنَا هُمْ أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ

Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

20

عَلَيْهِمْ نَارٌ مُؤْصَدَةٌ

Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.

Islamic Vault

Quran Explorer

منبعی جامع آنلاین برای خواندن و مطالعه قرآن کریم با ترجمه‌های متعدد، آوانویسی و تلاوت‌های صوتی از قاریان مشهور.

این کتابی است که در آن هیچ شکی نیست، هدایتی است برای پرهیزکاران.

قرآن ۲:۲

ویژگی‌ها

  • تلاوت‌های صوتی
  • ترجمه‌های متعدد
  • آوانویسی‌ها
  • ۱۱۴ سوره
  • ۶٬۲۳۶ آیه

© 2026 گنجینه اسلامی. تمام حقوق محفوظ است.

با احترام و مراقبت برای کتاب الله ساخته شده

توسعه‌یافته توسط Medita Development

سلب مسئولیت: اگرچه ما برای دقت تلاش می‌کنیم، لطفاً اطلاعات مذهبی مهم را با علمای اسلامی معتبر و منابع تأیید کنید. این پلتفرم برای اهداف آموزشی است.