95

At-Tin

سورة التين

The Fig8 আয়াত মক্কী

Translated by Ali Muhsin Al-Barwani

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

1

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ

Naapa kwa tini na zaituni!

2

وَطُورِ سِينِينَ

Na kwa Mlima wa Sinai!

3

وَهَٰذَا الْبَلَدِ الْأَمِينِ

Na kwa mji huu wenye amani!

4

لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنْسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ

Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.

5

ثُمَّ رَدَدْنَاهُ أَسْفَلَ سَافِلِينَ

Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!

6

إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ

Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.

7

فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ

Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?

8

أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ

Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?